Tunakukopesha mkopo wa hadi TZS 1,000,000 kupitia simu yako ya mkononi ndani ya dk 30 tu popote ulipo ndani ya Tanzania! Hatuhitaji dhamana ya mali ka... Read more
NAFASI MPYA ZA AJIRA
- By Admin
- 20 - September - 2025
Bado unatafuta kazi? Hii ni nafasi yako kwani tunatafuta watu wa kujaza nafasi zifuatazo:-
- Loan Officer (Afisa Mikopo)
- Debt Collector (Afisa Ukusanyaji Madeni)
- Sales Agent (Wakala wa Mauzo)
- Office Assistant (Msaidizi wa Ofisi)
- Teller (Karani wa Malipo)
- Store Keeper (Msimamizi wa Bohari)
- Office Cleaner (Msafi wa Ofisi)
- Customer Registration Agent (Wakala wa Usajili wa Wateja)
- HR Assistant (Msaidizi wa Rasilimali Watu)
- Data Entry Clerk (Karani wa Kuingiza Taarifa)
- Call Center Agent t
✓Hakuna ada ya kutuma maombi.
✓Baadhi ya nafasi hazihitaji uzoefu.
✓Mafunzo yatatolewa kwa baadhi ya nafasi.
Watu wengi tayari wameanza kutuma maombi yao na nafasi ni chache.
Kwa waombaji wanaopenda kuomba nafasi hizi, tafadhali tembelea ukurasa wetu wa ajira kwa kubofya kitufe cha “AJIRA” hapo chini, kisha kujaza fomu ya maombi kwa ukamilifu na kuambatanisha nyaraka zinazohitajika.
Waombaji wote wanashauriwa kuhakikisha taarifa zote zimejazwa kwa usahihi kabla ya kuwasilisha maombi, kwani ni maombi yaliyokamilika pekee ndiyo yatakayozingatiwa.
